Featured Posts

Sunday, August 10, 2014

ANGALIA PICHA ZA KILI MUSIC TOUR ILIVYOFANA JIJINI MBEYA...NOUMA SANA

 Mashabiki wakiingia katika uwanja wa New City Pub kushuhudia Kili Music Tour

Zembwela na Dulla wa EATV katika amsha amsha kabla ya show kuanza.


 Mkali kutoka Mbeya Izzo Bizness ndani ya backstage.

 Chibwa anaefanya miondoko ya Ragga ndie aliifuungua show ya Kili Music Tour Mbeya


 Shilole akionyesha uwezo wake wa kulishambulia jukwaa ikiwa ni pamoja na kumpandisha jukwaani mmoja wa mashabiki.


Backstage: AY na DJ wake Arthur

Rich Mavoko na madansa wake stejini


 Mashabiki wakifurahia wasanii wanavyolishambulia jukwaa

 Massawe na Kimario kama wanavyopenda kuitwa waliendeleza utamaduni wao wa kufanya show kwa pamoja katika Kili Music Tour.


 Wadau wakifuatilia kinachojiri jukwaani toka pembeni ya jukwaa la Kili Music Tour.

TUMEAMIA HUKU