Featured Posts

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Wednesday, April 30, 2014

MLELA WA BONGO MOVIE ADAIWA KUWA TEJA, FATILIA HABARI HII HAPA

NYOTA wa filamu za Kibongo, Yusuph Mlela amedaiwa kugeuka teja (mbwia madawa ya kulevya) hali inayomsababishia ashindwe kujichanganya na wasanii wenzake katika shughuli mbalimbali. Nyota wa filamu za Kibongo, Yusuph Mlela Kikizungumza na Amani juzikati, chanzo  kilisema msanii huyo kwa sasa anavuta unga kiasi cha uteja kujionesha waziwazi na kupoteza mwonekano wake wa zamani. Juzi, paparazi wetu alimtafuta Mlela na kufanikiwa kumpata...

AMA KWELI ASIEKUWEPO NA LAKE HALIPO. GARI LA GURUMO UTATA MTUPU

AMA kweli asiyekuwepo na lake halipo! Lile gari la aliyekuwa mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi aliyefariki dunia hivi karibuni, Muhidin ‘Maalim’ Gurumo alilopewa na nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, limeibua utata mtupu ndani ya familia ya marehemu huyo baada ya kubainika kwamba kumbe hakupewa kadi yake. Gari aina ya Toyota FunCargo iliyosababisha hali ya sintofahamu kwenye familia ya mzee Gurumo baada ya kufa. Kwa...

MSANII WA FILAMU BONGO, JB AZUA UTATA CLUB, AWABOA WENGI

BIG brother wa filamu za Bongo, Jacob Steven ‘JB’ amezua utata kwenye klabu mpya ya Princess Cassino iliyopo Posta mpya, Dar kufuatia minong’ono kuwa, yeye ndiye mmiliki wake. Hali hiyo ilijitokeza juzi kati kwenye uzinduzi wa klabu hiyo ambapo msanii huyo ndiye alionekana kuwa mwenyeji kwa kukatiza kila mahali. BIG brother wa filamu za Bongo, Jacob Steven ‘JB’ “Hivi, JB ndiye mwenye hii klabu nini? Mbona kama mwenyeji kuliko wengine....

MPIGA PICHA ZA SHOW TV AZIMIA KATIKATI YA ZOEZ LA KUMPIGA PICHA MWANADADA HUYU:

...

SOMA HAPA NA UTAMBUE SABABU ZINAZOWEZA KUKUFANYA UTAMANI KUFANYA MAPENZI MARA KWA MARA

Kuna mambo mengi sana ambayo husabisha kuhisi hamu ya kuwa na mwanaume au mwanamke kila mara hapa nitaorodheshamachache yale ya muhimu.1) Upweke mara nyingi hupelekea sana akili ya mtu kuhama na kutafuta kitu mbadala cha kuweza kujiliwaza na mara nyingi huchagua raha za kimwili kama kufanya mapenzi au kuwa na mwenza karibu.>2) Story za Mapenzi kama vile kusoma vitabu vya mapenzi kuangalia picha zenye mvuto wa kimahaba pia kusikia habari...

MAKALIO YA TRAFIC WA KENYA AMDATISHA RAIS UHURU KENYATTA NI PIA KESHA SABABISHA AJALI KIBAO BARABARANI KISHA MAKALIO YAKE..!

Mtu Mzima ni kama aamini anacho kiona....."Aisee huyu mleteni awe board guard wangu ...Life is Good.....

HAKI YA MUNGU DIAMOND NA WEMA SEPETU WANASTAHILI KUWA MASTAA, HEMBU TAZAMA PICHA HIZI WALIVYOTUPIA:

...

FUMANIZI : ANASWA AKILA URODA NA MAMA MTU MZIMA MWENYE UMRI ZAIDI YA MAMA YAKE.,,!! HUU NDIO MWISHO WA DUNIA AISEE...!!

Jamaa mmoja alinaswa akivunja amri ya sita na mama mtu mzima kabisa yani mwenye umri zaidi ya hata mama yake mzazi maeneo fulani. Hivi jamani hii nitamaa au ni laana , Dunia inaelekea wapi..!...

KUTANA NA MREMBO MWANACHUO MWENYE KALIO LA AJA AMBAYE, WATU WANAHISI ANALITUMIA KUFAHURU MITIHANI

ANAITWA FAITH ANASOMA CHUO KIKUU CHA MT KENYA AMBAYE UNAAMBIWA KILA AKIKATISHA KORIDO ZA CHUO HICHO LAZIMA WATU WAACHE WANACHOKIFANYA KWA JINSI ALIVYOJALIWA HUKO NYUMA.... NA UNAAMBIWA MIDUME KIBAO WAKIWEMO MAWAZIRI WANAJIGONGA KILA KUKICHA KWA BINTI HUYO... HATA HVYO INASEMEKANA FAITH NI MOTO WA KUOTEA MBALI LINAPOKUJA SWALA LA PEPER JAMBO AMBALO LINAWAACHA WATU NA MASWALI KAMA KWELI NA AKILI ZAKE AU KALIO LINAFANYA KAZI YAKE. at 5:10...

HAWEZI " KUNIPA DOZI TUKIWA KATIKA TENDO LA NDOA " MPAKA ASHIKILIE NA MKONO

Mimi ni msichana nimewahi kuwa na rafiki wa kiume hapo nyuma, huyo kaka alikua tu kama rafikiyangu baadae ikatoke tukapendana na kuwa mtu na girlfriend wake I mean tulianza kutoka kama wapenzi. Huyo mwanaume alikua yuko nice ingawa baadae tulikuja tukaachana. Tatizo la huyo mwanaume ni wakati wa kufanya mapenzi. Tulikua tukifanya romance , tukiwa tunajiandaa kufanya mapenzi alikua yuko vizuri , tu tunaendana vizuri na wote tunakua tuko...

BASI LAUWA WATU 18 WALIOKUWA WAKIMSITIRI MAREHEMU KANDO YA BARABARA

WATU 18 wamekufa papo hapo wakiwemo askari Polisi wanne katika ajali ya barabarani, wakati basi linalomilikiwa na Kampuni ya Sumry, lilipopamia watu hao wakati wakimsitiri mtembea kwa miguu, aliyekufa kwa kugongwa na gari lisilofahamika.Ajali hiyo ilitokea usiku wa kuamkia jana katika Kijiji cha Utaho, kilometa 20 nje ya Mji wa Singida katika Barabara Kuu ya Singida Dodoma.Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Kamishina Msaidizi Mwandamizi,...

BAADA YA MCHEZAJI WA BARCA KUTUPIWA NDIZI UWANJANI.. MASTAA HAWA WAJIBU MAPIGO HIVI

Amazing: Davido, Samuel Eto’o, Adebayor, Balotelli Post Banana Photos In SupportThis awesome, this is amazing and breathtaking…. When I personally watched that video I was really touched…Dani Alves ate the banana that was thrown at him, he started a revolution. Right now, it’s taken over thesocial media.The racist incident happened during Barcelona’s match against Villarreal on Sunday, when a banana was thrown onto the pitch towards Dani Alves...

Tuesday, April 29, 2014

HATIMAYE MR BLUE AFUNGUKA JINSI WEMA NA NAJ WALIVYOMFILISI

NYOTA wa Bongo Fleva, Herry Samir maarufu kama Mr. Blue amesema wasichana warembo, Wema Sepetu na Najma ambao aliwahi kutoka nao kimapenzi kwa nyakati tofauti miaka ya nyuma, walimfilisi kutokana na matumizi makubwa ya fedha alipotoka nao viwanja. Nyota wa Bongo Fleva, Herry Samir maarufu kama Mr. Blue akiwa kwenye pozi. Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, Mr. Blue, msanii aliyeanza kupata umaarufu akiwa bado kijana mdogo, alisema...

MAKUBWA: JINI AFUNGUKA LIVE KUHUSU KUZAA NJE YA NDOA

MSANII wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ amefunguka kuwa hayupo tayari kuzaa tena nje ya ndoa mpaka atakapoolewa. Msanii wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’. Akistorisha na paparazi wetu, Jini Kabula alisema hawezi kurudia tena jambo hilo kwani anaogopa kuchanganya damu kwa vile baadaye watoto wanaweza kuja kugombana na kukosa maelewano hivyo anamuomba Mungu atimize ahadi ya kuolewa ndipo azae. “Nilizaa na Chuz...

MASKINI BANZA STONE SASA ARUDIA ENZI ZAKE .... FATILIA HAPA ZAIDI

STAA mkubwa wa muziki wa dansi nchini, Ramadhani Masanja ‘Banza stone’ ambaye anasifika kwa ulevi wa kupindukia na hivi karibuni aliripotiwa kuacha, inadaiwa amerejea tena, safari hii kwa kiwango cha kutisha. Ramadhani Masanja ‘Banza Stone’ alipokuwa akihojiwa na Global TV Online. Chanzo makini kutoka ndani ya familia ya mwanamuziki huyo anayefanya kazi na bendi ya Extra Bongo, kimeliambia gazeti hili kwamba hali ya sasa ya Banza ni...

BATULI ADAIWA KUITIKISA NDOA YA MTUNIS

HABARI za motomoto kutoka vyanzo vya uhakika, zinasema kuwa staa wa kike anayekuja juu kwa sasa katika tasnia ya filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ ameitikisa ndoa ya mwigizaji mwenzake, Nice Mohammed ‘Mtunis’ kwa madai ya kutoka naye kimapenzi. Mkali katika tasnia ya filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’. Chanzo chetu, kwa sharti la kutochorwa jina lake gazetini kilifunguka kuwa ishu ya wawili hao kuwa wapenzi siyo siri, kwani mara...

MREMBO ALIYEPIGWA NA MSANII CHIDI BENZI ADAIWA KUWA MAHUTUTI HOSPITALINI

MREMBO Mwanaisha Kiboye, mkazi wa Ilala, Dar anayedaiwa kupigwa na mwanamuziki wa Kizazi Kipya Bongo, Rashid Makwilo ‘Chid Benz’, hali imekuwa mbaya kwani yu mahututi. Mwanaisha Kiboye, akiwa hoi hospitali baada ya kipigo kutoka kwa msanii Chid Benz. Juzi Jumatatu, wakati staa huyo akipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar kwa kesi hiyo, Mwanaisha alikuwa akipumua kwa tabu kwenye chumba maalum katika Hospitali iitwayo...

TUMEAMIA HUKU