Featured Posts

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Sunday, August 31, 2014

BREAKING NEWZ; MADUKA KARIAKOO YAFUNGWA: SOMA HAPA KUJUA ZAIDI

Picha hali Ilivyosasa kariakoo ambapo Wafanyabiashara wamefunga Maduka Yao ikidaiwa Kupinga matumizi ya mashine ya EFD..Hii ndo hali ilivyo asubuhi hii wafanyabiashara wa soko la kariakoo leo wamefunga maduka yao  ...

JAMANI ACHENI NUH MZIWANDA APAGAWE KWA SHILOLE, HATA AJICHORE TATOO HADI MATAK0N1 MIE

      ...

HATIMAYE UPEPO UMEGEUKA KAJALA SASA ANA PESA CHAFU, KUMUAJIRI WEMA,

AMA kweli fedha mwanaharamu! Kama bado ulikuwa ukiamini kwamba Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu anayependelea kuitwa Madam ana mtonyo (fedha) kumzidi aliyekuwa shosti wake, mwigizaji Kajala Masanja ‘Kay’, umekosea sana kwani upepo umegeuka, ungana na Ijumaa Wikienda.Habari za ‘ufukunyuku’ zinadai kwamba, kwa utajiri alionao kwa sasa, Kajala anaweza kudiriki kumwajiri Wema kama kisemavyo chanzo. Mwigizaji wa filamu Bongo, Kajala Masanja...

NOMA GARI LA MSANII DUDE LAIBUA MAZITO MAPYA KABISAA

Stori: Mayasa Mariwata Kumbe! Lile gari aina ya Toyota Vitz la staa wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ambalo hivi karibuni lilikamatwa kwa msala wa kuhusika na ujambazi jijini Dar, limeibua mapya likiwa bado linashikiliwa na polisi kwenye Kituo cha Kijitonyama a.k.a Mabatini. Habari za kifukunyuzi zinadai kwamba ndinga hilo si mali ya Dude kama ilivyoelezwa awali, bali ni la mwanamke ‘anayechepuka’ naye aliyetajwa kwa jina moja la...

WAREMBO KAMA NANE HIVI WACHEZEA KICHAPO KIKALI USIKU WA MANANE

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro Imekaa poa sana! Miezi kadhaa baada ya Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers kufichua uchafu wa biashara haramu ya ngono kwenye Mtaa wa Mwanzo Mgumu, Kata ya Mwembesongo, maeneo ya Msamvu mjini hapa, warembo wanaojiuza eneo hilo wamekula kibano na malori yanayopaki mahali hapo yametimuliwa. Baadhi ya machangu walionaswa wakijiuza. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, kiongozi wa mtaa huo, Said Omar...

INAUMA SANA! MFANYABIASHARA AMCHARANGA MAPANGA ALBINO

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro INAUMA sana! Wakati Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro likimshikilia mkazi wa wilayani Mvomero, Johnson Damian Mkude kwa msala wa kumchinja mdogo wake na kupeleka kichwa kwa mganga wa kienyeji ili awe bilionea, jeshi hilo linamshikilia mfanyabiashara mwingine maarufu mkoani hapa aitwaye Lyimo kwa tuhuma za kumcharanga mapanga Damas Valeniani (36) ambaye ni  mlemavu wa ngozi (albino). Mlemavu wa ngozi Damas...

MWIMBAJI WA TAARABU WA BONGO ANUSURIKA KUUAWA NA AL SHABAAB HUKO MOMBASA

Oooh nooo ! Mwimbaji na Kiongozi wa Kundi la Mashauzi Classic , Aisha Ramadhani ‘ Isha Mashauzi’ , amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuvamiwa na kundi linalojiita Al - Shaabab ( siyo wale orijino wanaosifika kwa ugaidi ). Mwimbaji na Kiongozi wa Kundi la Mashauzi Classic , Aisha Ramadhani ‘ Isha Mashauzi ’ . Tukio hilo ambalo liliibua sintofahamu kwa wananchi , lilitokea juzikati katika hoteli inayojulikana kwa jina la Grassovila iliyopo Mombasa...

KUHUSU TUUMA ZA KUMRISHA DIAMOND VIPORO KILA SIKU.. WEMA AFUNGUKA .. SOMA HAPA ALICHOJIBU

MAHABATi ! Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu ‘ Madam’ amedhihirisha kuwa yeye ni mwanamke tayari wa kuwekwa ndani baada ya kusema anajitahidi kila siku katika suala la mapishi ili asimlishe viporo mwandani wake, Nasibu Abdul , ‘ Diamond’ . Akipiga domo na paparazi wetu , Wema alisema kama mwanamke anajua thamani ya mwanaume siku zote hata kama ‘ baby ’ wake atarudi usiku , lazima aingie jikoni kupika na haweki chakula kwenye ‘ hot pot ’ . “...

HII KALI. WAZIRI MKUU PINDA AWAKIMBIA WAANDISHI WA HS

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda jana alilazimika kutumia mlango wa uani kuondokea badala ya ule mkuu kwa kile kinachohisiwa kuwakwepa waandishi wa habari waliokuwa wakifuatilia ufunguzi wa mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje na mazingira kutoka nchi za Afrika. Pinda ambaye alikuwa akifungua mkutano huo, aliondoka mara tu baada ya kumaliza shughuli iliyompeleka huku akiacha kushiriki tukio la kupiga picha lililoandaliwa kwa ajili yake upande wa lango kuu...

HATARI SANA: WASANII WAANDAMANA NUSU UCHI NCHINI KENYA..JIONEE MWENYEWE HAPA!

  Siku hizi ishu ya kuvua nguo kuonyesha msisitizo au kulipigia kelele jambo flani imekua kawaida, yani wengi wameitumia hii njia kufikisha malalamiko yao na mfano mzuri ni hivi karibuni kwa Wanafunzi wa kike kwenye shule ya sekondari ya Wasichana Tabora Tanzania kubaki nusu uchi kwa nia ya kupigia kelele matatizo ya shule ikiwemo maji.Nchi jirani ya Kenya matukio kama haya yamekua mengi pia lakini hawa ndio wamechukua headlines kwa kuwa...

HABARI KAMILI: WATU KUMI WAMEFARIKI DUNIA NA MAJERUHI SABA KATIKA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA MBALIZI

Viti vikiwa vimeharibika baada ya ajali kutokea  Hivi ndivyo ambavyo Daladala hiyo ilivyojibamiza muda mchache uliopita  Eneo hili la ubavuni ndipo eneo ambalo Daladala hiyo iliingia na Kujigonga  Gari hilo aina ya Tata likiwa limepaki pembeni Muda mchache baada ya kupata ajali hiyo Askari wa usalama wa Barabarani akiwa anatazama na kuchunguza zaidi ajali hiyo Eneo ambalo Daladala hiyo iliyofumuka  Hivi...

PENZI LA MAINDA LAGOMBEWA NA WANAUME KIBAO SOMA ZAIDI HAPA

  Staa  wa  Filamu  za  Kibongo  aliyeamua  kumpokea  Yesu, Ruth Suka  'Mainda'  amesema  amekuwa  akipata  wakati  mgumu  kumjua  mwanaume  wa  kweli  ni  yupi  ambaye  anaweza  kumuoa  na  ndoa  yake  ikawa  na  raha  badala  ya  majuto  kama  ilivyo  kwa  baadhi ...

TUMEAMIA HUKU